Tuesday, February 16, 2021

#UJASILIAMALI: JINSI YAKUTENGENEZA BISCUTI ZA MAYAI

 MAHITAJI NA VIPIMO.

i. Unga ( Ngano ) 3 Vikombe
ii. Sukari ya unga (icing sugar) 1 Kikombe
iii. Siagi 250 gm
iv. Mayai 3
v. Vanilla 2 Vijiko vya chai
vi. Baking powder 1 Kijiko cha chai
NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA.
i. Koroga siagi na sukari katika mashine ya keki (cake mixer) mpaka iwe laini (creamy).
ii. Tia mayai na vanilla koroga mpaka mchanganyiko uwe laini.
iii. Tia unga na baking powder changanya na mwiko.
iv. Tengeneza round upange kwenye tray.
v. Nyunyuzia sukari juu ya hizo round ulizotengeneza kabla huja choma.
vi. Pika (bake) katika oven moto wa 350°F kama muda wa dakika 15 hivi huku
vii. Hakikisha uwe unazitazama tazama.
Note : Kama utapenda unaweza kuweka nukta ya rangi nyekundu ukiwa hatua ya IV.


No comments:

Post a Comment

#UJASILIAMALI: NAMNA YAKUTENGENEZA UBUYU WA ZANZIBARI

  MAHITAJI YA UBUYU WA ZANZIBAR 1.Sukari vikombe 2 2.Maji vikombe 2 3.Nusu kikombe unga wa ubuyu 4.Vikombe 4 ubuyu wenyewe 5.1/4 pili pili y...