MAHITAJI NA VIPIMO
i. Karanga vikombe 2
ii. Asali au sukari kijiko 1 na nusu cha chakula
iii. Mafuta ya kupikia kijiko 1 na nusu cha chakula
iv. Chumvi ½ kijiko cha chai
NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUTENGENEZA SIAGI YA KARANGA.
1.Kaanga karanga bila mafuta mpaka zikaangike vizuri yani maganda yaanze kutoka yenyewe
2.Ziache zipoe kisha toa maganda
3.Mimina karanga,chumvi na mafuta katika blender ama food processor...saga hadi iwe laini
4.Ongeza asali,chumvi ,sukari au asali na mafuta saga hadi iwe laini...
5.Hifadhi katika chupa yako kisha weka kwenye Friji
NB ; UKILA NA MKATE USISHANGAE KUSIKIA KITU KINAKUAMBIA UKANUNUE MKATE MWINGINE MZIMA 

No comments:
Post a Comment