MAHITAJI NA VIPIMO
JINSI YA KUANDAA NA KUPIKA JAM YA NANASI
1.Chemsha nanasi hadi likiwa laini lipondeponde
2.Tia sukari ktk sufuria na maji ukoroge mpaka iyeyuke
3.Iweke jikoni ichemke mpaka uone inanatanata ktk vidole tahadhari isiungue
4.Tia nanasi lako na maji ya ndimu changanya ,iwache ichemke kwa moto mdogo mdogo mpaka iwe nzito kama jam zengine kisha epua ,tayari kwa matumizi waweza kula na mkate,banzi nk.ENJOY! Je umeipenda?

No comments:
Post a Comment